• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWAMPAMBA atoa rai kwa watendaji na wenyeviti wa vijiji kuzingatia sheria za mazingira

Posted on: July 20th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba ametoa rai kwa wenyeviti wa Vijiji na watendaji wa vijiji kusimamia kamati za mazingira za vijiji ili waweze kupambana na janga la uharibifu wa mazingira katika maeneo mbalimbli.

Akizungumza katika zoezi la kugawaji wa vifaa vilivyotolewa na Wakala wa misitu TFS Tanzania katika kijiji cha Mtepa Kata  ya Lituta Halmashauri ya Wilaya ya Madaba amesema wahakikishe wanazingatia sheria ndogo ndogo zilizowekwa.

“Naomba sana tuzisimamie zile sheria ili tuweze kuepusha majanga ya moto na tuweze kutunza mazingira”.

Aidha Mwampamba amesema wananchi kufuatia kipindi cha mavuno wahakikihe wanajikatia bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa  kwa shilingi elfu 30,000/=kwa watu sita katika familia

“Majanga yanakuja mda wowote uwe na pesa hata usipokuwa na pesa rai yangu kwa sasa tumevuna mazao yetu tutenge elfu 30,000/= ili tuweze kujiunga na bima kwa mwaka mzima magonjwa hayapigi hodi tunaweza kutubiwa katika hospitali zetu”.

Hata hivyo amewataka wazazi kuhakikisha wanajali afya za watoto na kuacha kuhamia mashamabni badala yake wawaandalie  lishe bora ili kuepuka udumavu na utapiamlo.

“Tujitaidi sana kuwapa watoto wetu Lishe bora  tusijisahau mashambi tukumbuke ndani ya mkoa wetu kuna udumavu na utapiamlo kwa watoto“.

Imeandaliwa na Aneth ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Julai 19,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa