• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MUHOCHI Watanzania mnaposikia huduma za Afya za kibingwa jitokezeni

Posted on: November 1st, 2024

Huduma za Afya za kibingwa zilizotolewa kwa siku tano katika hospitali ya Wilaya ya Madaba wagonjwa 296 wamepatiwa matibabu.

Akizungumza kiongozi wa Madaktari bingwa Phillip Muhochi ambaye ni bingwa wa ganzi na usingizi kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili amesmea katika  huduma zilizotolewa kwa wingi katika halmashauri ya Wilaya ya Madaba ni upande wa Kinywa na Meno ,fizi na majipu kwenye kinywa .

Hata hivyo amesema kwa magonjwa ya ndani madaktari hao wamebaini tatizo la shinikizo la damu,mishipa ya fahamu na maumivu ya mgongo.

Katika suala la upasuaji tumebaini suala la tezi dume kwa asilimia kubwa ngiri au henia na magonjwa ya kina mama tumegundua matatizo ya kukosa ujauzito na  mfumo wa upumuaji wa watoto.

“Tumeona na tumeyapatia ufumbuzi matatizo hayo na tumewasaidia watumishi wa afya kwa kuwajengea uwezo namna ya kupata ufumbuzi wa magonjwa na pale inapohitajika rufaa zinazotakiwa”.

Muhochi ameishuru Serikali kupitia mpango huu kwaajili ya kuwasongezea huduma Watanzania wote hata wa vijijini ikiwa kwa hali ya kawaida siyo rahisi kila mwananchi kufuata huduma katika hospitali ya Taifa Muhimbili na mahali kwingine.

“Wito wangu wananchi wanapopata taarifa ya ujio wa madaktari bingwa waje tupo tayari kuwahudumia wananchi na Watanzania wenzetu”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Novemba 1,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa