• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MUHIFADHI Wino atoa rai kwa wananchi kuchangamkia fursa za ufugaji nyuki

Posted on: July 20th, 2024

Muhifadhi wa shamba la miti Wino TFS Grory  Fotunatus ametoa rai kwa wananchi wa Madaba kujiunga katika vikundi ili waweze kupewa mizinga ya kufugia nyuki.

Muhifadhi amesema hayo katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali vya ujenzi katika taasisi za kidini na Serikali kwa Mbunge wa Jimbo la Madaba amesema wananchi wahakikishe wanaacha kukata miti na kulima kilimo cha mabondeni badala yake wafuge nyuki.

“Undeni vikundi kupitia halmashauri kuna mizinga 30 pale ofisini vinasubiri kikundi hivyo yote ni jitihada za  kuhifadhi mazingira kauli mbiu inasema “achia choka kamata mzinga” tusikate miti ya bondeni inaharibu mazingira”.

Hata hivyo amesema ukataji wa mti mmoja ambao unaweza kuhifadhi mizinga mitano ya nyuki ambapo asali yake inasoko kubwa ndani na nje.

“Kuna fursa ya upandaji miti,mbao wino na igawisenga kuna mzunguko mkubwa wa hela kwasababu walipanda miti na sasahivi wanauza changamkieni fursa ya uhifadhi”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 19,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa