• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MRATIBU Madaba atoa tahadhari kujikinga na ugonjwa wa mpox

Posted on: August 29th, 2024

Afisa afya wa   halmashauri ya Wilaya ya Madaba Geofrey Mwatwinza ametoa rai kwa wananchi kujikinga na ugonjwa wa Mpox.

Hayo amesema katika  kikao cha kamati ya afya ya msingi kufuatia mlipuko wa ugonjwa ambao bado katika nchi ya Tanzania haujaingi.

Mwatwinza amesema kisa cha ugonjwa huo ulibainika kwa mtoto wa umri wa miezi 9 nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC)  mwaka 1970.

“Awali maambukizi yalianza kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu lakini hata kwa binadamu kwenda kwa binadamu wanaambukizana,Kimataifa mwaka 2022 ugonjwa ulienea katika nchi 100 ambazo hazikuwa na historia ya virusi hivyo”

Amesema dalili za ugonjwa wa Mpox ni homa kali,Maumivu ya kichwa,Maumivu ya Misuli,Maumivu ya mgongo na uchovu wa mwili,kutokwa na vipele vyenye majimaji,hasa maeneo ya usoni,mdomoni,mikononi,miguuni sehemu za siri na sehemu zingine za mwili.

Aidha amesema ugonjwa huo unaambukizwa kupia kugusana,majimaji ya mwili,matapishi,jasho na mkojo,kujamiiana kugusa sehemu zenye vimelea,mjamzito anaweza kuambukiza mtoto aliyepo tumboni.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 28,2024.

                                 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa