• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MKURUGENZI :Madaba hakuna Shule iliyosajiliwa kwa jina la Litepatile

Posted on: April 22nd, 2022

 Kufuatia taarifa zinazosambaa katika mitandao  ya Kijamii na kusemekana ni shule ya Msingi Litepetile ambayo ipo katika Halmashauri ya Madaba Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo ametembelea eneo hilo leo.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo  Sajidu Idrisa Mohamed mara baada ya kufika katika eneo hilo amebaini katika Halmashauri hiyo hakuna shule iliyosajiliwa kwa Jina la Litepetile.

“Nimefika katika eneo hili linalosadikika ni Shule ya Msingi Litepetile kutokana na habari iliyosambaa katika mitandao ya kijamii,Halmashauri ya Madaba hatuna Shule iliyosajiliwa kwa jina hilo”.

Mkurugenzi amesema kuna wafugaji wanaohamahama kutafuta marisho ya mifugo yao na wameamua kujitengenezea utaratibu wa kuanzisha Sehemu ya kufundishia watoto wao waliohama nao kutoka sehemu mbalimali.

Hata hivyo Mkurugenzi amesema wengi wao wana mda wa miaka miwili katika eneo hilo na wamesema wanauhitaji wa Shule lakini hawakujua utaratibu wa kufuata na kuanzisha  Shule.

”Kama Serikali ya Halmashauri ya Madaba nimeongozana na timu yangu tumetoa  maelekezo na utaratibu wa kusajili Shule, nakanusha taarifa iliyosambaa katika mitandao siyo ya kweli  badala yake tunashule  inaitwa kibula ng’ombe ipo kata ya Mtyangimbole”.

Mkurugenzi ametoa wito kwa wafugaji hao kupeleka   watoto wanaoishi katika eneo hilo wakasajiliwe  katika Shule ya Msingi Kibulang’ombe ambayo inamamlaka ya kubeba wanafunzi  wote na  kufuata utaratibu unaotakiwa na siyo kupotosha taarifa na kuleta taharuki katika mitandao ya kijamii.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari mkoa wa Ruvuma

April 22,2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa