• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MJEMA "Mafunzo yataleta manufaa kwa walimu wa awali na wanafunzi".

Posted on: January 18th, 2025

Walimu wa awali Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wanaendelea na mafunzo ya siku nne yanayolenga uboreshaji wa elimu ya awali kupitia mtaala wa elimu uliyoboreshwa wa mwaka 2023.

Akizungumza Mwezeshaji wa Kitaifa kutoka katika chuo cha Ualimu Vikindu Naomi Mjema ikiwa mafunzo hayo yalianza kwa wakufunzi kwa mda wa siku tatu na kuendelea kwa walimu wa awali.

Hata hivyo Mjema ameeleza malengo ya mafunzo ikiwa ni kumjengea mwalimu ujuzi na umahili katika kutumia mtaala ulioboreshwa wa mwaka 2023 na kumsaidia mwalimu aweze kutumia miongozo mbalimbali ya elimu ya awali.

“Wizara ya Elimu imejalibu kutoa miongozo mbalimbali katika kusaidia kukuza elimu ya awali na kuwa na mafanikio katika mafunzo haya tunatarajia mwalimu ataijua miongozo mbalimbali na ataweza kuitumia kwa ufanisi mtaala na muhuthasari mpya ulioboresha wa mwaka 2023”.

Amesema katika mafunzo haya walimu watajifunza namna ya kufaragua zana ikiwa zana zilizopendekezwa na Wizara ya Elimu na kujifunza namna ya kutengeneza, mara baada ya mafunzo haya walimu wanatarajia kuwa mahiri  sana katika ufundishaji na ujifunzaji katika elimu ya awali na kuwa na dhana za kutosha.

“Tunaamini mafunzo haya yatakuwa na manufaa ya kutosha katika kuwasaidia wanafunzi wa elimu ya awali waweze kukua vyema kiakili,kimwili na maono na katika Nyanja zote za ukuaji”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 18,2025.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA MKOANI YATUA MADABA KWA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa