• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MIKOPO ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri siyo zawadi

Posted on: January 21st, 2023

Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa ametoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanalipa Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kwa wanawake,vijana na wenye ulemavu.

Hayo amesema katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili ya mwaka 2022/2023 na amewaagiza viongozi wote wa kata kuhakikisha wanasimamia zoezi la marejesho ya mikopo kuwa wote waliokopa wanarejesha ili wengine wakopeshwe na watambue hawakukopeshwa kama zawadi.

“Wote waliokopa warudishe mikopo ili wengine wakopeshwe sababu mkopo huo siyo zawadi“.

Mlelwa amempongeza Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na wataalamu wote kwa usimamiaji wa miradi ya maendeleo.

Hata hivyo mwenyekiti amewaagiza wataalamu kuendelea kukusanya mapato ya ndani ya Halmashauri ili kuhakikisha Halmashauri inakua kiuchumi.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Januari 21,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa