• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MIAKA 61 ya Uhuru yatoa matunda ya ujenzi wa miundombinu

Posted on: December 9th, 2022

WILAYA ya Songea imeadhimisha Sherehe ya Uhuru wa Miaka 61 Tanzania Bara kwa mdaharo wa mada 6.

 Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeth Mgema amewakilishwa na Meya wa Manispaa ya Songea Michael Mbano ametoa rai kwa Watanzania kuhakikisha wanalinda uhuru  wa Nchi.

“Uhuru unalindwa kwa kufanya kazi na matatizo yoyote yatakayo jitokeza yanatatuliwa na Watanzania wenyewe”.

Afisa Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Songea Lucy Mbalue akiwasilisha mada ya Elimu na Afya amesema kabla ya Uhuru Wilaya ya Songea ilikuwa na Shule za Sekondari 2 na Shule za Msingi 17.

Amesema kwa kipindi cha miaka 61 ya Uhuru sekta ya Elimu ilipiga hatua kubwa  kwa Wilaya ya Songea inashule za Msingi zinazomilikiwa na Serikali  205 na Sekondari 76.

Hata hivyo kwa upande wa Afya kabla ya Uhuru Wilaya ya Songea ilikuwa na Hospitali 2 na baada ya Uhuru Wilaya ina Hospital 3  vituo vya Afya 17 na Zahanati 75 na zingine kama Hospital Vituo vya Afya na Zahanati zinaendelea kujengwa na kukamilishwa.

Kwa upande wake Afisa Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Joseph Mrimi amesema kipindi cha miaka 61 ya Uhuru katika Sekta ya Kilimo imeendelea kufanya vizuri  kwa kuongeza pato la Taifa na kuongeza uchumi na kuleta maendeleo.

“Sisi Mkoa wa Ruvuma kuanzia msimu uliopita miaka mitatu kurudi nyuma tumeongoza kitaifa kwa uzalishaji wa Chakula ikiwemo Wilaya ya Songea imechangia kwa kiasi kikubwa”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Desemba 9,2022.

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa