• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MIAKA 61 ya Uhuru yaleta mafanikio Tanzania Bara

Posted on: December 9th, 2022

MIAKA 61 ya Uhuru Tanzania Bara imeleta  mafanikia makubwa katika Sekta mbalimbali na kusababisha maendeleo Makubwa.

Hayo yametajwa  katika Sherehe za Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Miaka 61 Tanzania Bara iliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Pendo Daniel akitoa utangulizi katika Sherehe hizo amesema Tanganyika ilipata uhuru kutoka kwa Wajerumani  walitawala Tanganyika kama sehemu ya kujipatia malighafi bila kuweka miundo mbinu ya kutosha.

Hata hivyo amesema miundombinu iliyowekwa ilikuwa nikwaajili ya manufaa yao na watumishi wake na ilikuwa michache sana.

Juma Nyumayo akiwasilisha mada ya Siasa na uongozi katika Sherehe hizo amesema Uongozi ni majukumu ya kufanyamaamuzi  na kushughulika na maswala yako au watu wengine  bila kuwa chini ya mamlaka nyingine.

Nyumayo amesema kabla ya mwaka 61 wajerumani waliwaona watanganyika kama wanyama,waliwadhalilishwa na kuona kama hawana hakili wala haki ya kuishi pamoja na kumiliki.

“Mungu akajalia Kupitia uongozi wa Rias wa Awamu ya kwanza Julias Kambalage Nyerere na vyama vya kisiasa alihamasisha nchi nzima tukapata Uhuru wetu mwaka 1961”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Desemba 9,2022.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa