• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Mhagama alivyoahidi kutatua changamoto Sekondari ya Madaba day

Posted on: April 20th, 2024

MKUU wa Shule ya Sekondari ya Madaba Kelvin Kalesa amezitaja changamoto zinazoikabili shule hiyo.

Hayo amesema katika maafari ya 12 ya kidato cha sita ikiwa changamoto hiyo ni pamoja na upungufu wa viti na meza,projector, computer na ukarabati wa kiwanja cha michezo.

Hata hivyo kalesa ameishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Samia kwa jitiahada zinazofanyika kwa kukarabati miundombinu mashuleni ikiwemo shule ya Sekondari Madaba day.

“Tukushukuru wewe Mbunge wetu wa Jimbo la Madaba kwa kazi kubwa unayoifanya sisi ni kati ya wale waliofanikiwa kwa kupata madarasa mapya na mengine kukarabatiwa katika shule ya Madaba day”.

Naye Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama akiwakilishwa na Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Fotunatus ameahidi kutatua changamoto hizo kwa wakati ikiwa katika shule nyingi amenunua vifaa hivyo.

Kwa upande wake Meneja wa shamba la Miti wino amesema watashirikiana na Mbunge kutatua changamoto zilizojitokeza katika Shule hiyo na atahakikisha wananunua jezi za michezo na mipira.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba                               

Aprili 19,2024. 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa