• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MBUNGE Jimbo la Madaba atuma salamu kwa wahitimu wa kidato cha sita 2024

Posted on: April 20th, 2024

SHULE ya Sekondari Madaba day wamefanya maafari ya 12 ya kidato cha sita Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mkoa wa Ruvuma.

Katika Maafari hayo Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Fotunatus amemwakilisha Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama kuwa mgeni rasmi katika sherehe hizo .

Mhagama ametuma ujumbe kwa wahimu wa kidato cha sita kuwa wanauhuru wa kuchagua ikiwa wanatoka mikonni mwa walimu na wazazi wanaenda kwenye dunia hivyo wasitegemee kuwa maisha ni mepesi.

“Jitihada mliyoitumia kufika kidato cha sita hivyo mkaitumie kupambana katika maisha mkiwa nyumbani mkisubiri matokeo na vyovyote yatakavyotoka msikate tamaa”.

Hata hivyo amewaasa kuwa Dunia inawatazama kwa jicho la tofauti ikiwa popote watakapoenda wasisahau wazazi na kuacha kuhangaika na mambo ambayo hayafai.

“Hatari iliyopo kwa sasa wanawake wanatafuta wanaume huko mjini heshimuni maelekezo ya wazazi wenu na elimu mliyoipata kutoka kwa walimu wenu mkifika chuo kikuu msijisahau”.

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Madaba.

Aprili 19,2024.     

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa