• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MBEGU za ngano kutolewa bure kwa wakulima Madaba

Posted on: January 15th, 2025

MKUU wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile ametoa rai kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kulima zao la Ngano

Akizungumza na wananchi hao amesema ofisi ya Mkuu  wa Wilaya imezungumza na kampuni ya bia ya Serengeti ambao watanunua zao hilo mara baada ya mavuno.

“Mwaka huu nimebuni na nyie mnatakiwa kuniunga mkono tutawapeni mbegu bure na tutafanya maarifa mpate na mbolea yeyote ambae anaheka moja na kuendelea tutampa mbegu na  soko tunalo ni kampuni ya Bia ya Serengeti”.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuhimiza utunzaji wa misitu na kilimo cha ngano ikiwa wananchi wa Wino miaka 30 iliyopita walikuwa wanalima ngano kutokana na kutokuwa na soko waliacha kilimo hicho.

“Lakini kwa maelekezo mazuri ya Mkuu wa Wilaya kwamba ataleta mbegu na wanunuzi wa zao la ngano tunaomba swala hili lifanyike kwa haraka ili wananchi waweze kulima kwa wakati”.

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 16,2025.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa