• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

Posted on: January 18th, 2025

Mratibu wa Mradi wa BOOST Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Raphael Kibirigi ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia kwa kuwezesha walimu wa awali kupata  mafunzo yakuwajengea uwezo  katika ufundishaji na ujifunzaji.

Kibirigi amesema mafunzo hayo yatawasaidia walimu hao kwa namna bora ya kufaragua na kutengeneza zana na kumudu miongozo na kuisimamia amabyo inasimamia elimu ya awali.

“Mara baada ya mafunzo haya walimu watakuwa chachu ya kufikisha ujumbe kwa walimu wengine na watafuata taratibu zote za ufundishaji wa elimu ya awali kwa awamu ya kwanza na awamu ya pili itafanyika katika shule zote”

‘‘Tuishukuru sana Serikali ya awamu ya Sita ambayo imeona jambo hili na kutuletea sisi watu wa madaba, ili tuweze kufikia malengo yaliyokusudiwa”

Kwa upande wake Mkufunzi ambaye ni mwalimu wa Shule ya Msingi Lilondo Goreth Chales amesema kupitia mafunzo waliyopata kwa mda wa siku tatu wanatarajia kutoa elimu thabiti kwa walimu wa awali.

Amesema kupitia  mafunzo anatarajia kuona mabadiliko yakianza katika utekelezaji wa elimu ya awali kwa wadau ngazi shule pamoja na wadau wengine ili kuweza kufikia lengo lililokusudiwa la mafunzo hayo kupitia mradi wa BOOST.

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 18,2025.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa