• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAKARANI Madaba wala kiapo cha usimamizi wa Uchaguzi Mdogo Kata ya Mtiyangimbole

Posted on: September 15th, 2023

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Madaba Sajidu Idrisa Mohamed ametoa rai kwa Makarani 22 waogozaji wapiga kura kutokuwa na upendeleo wa chama katika kituo cha kupigia kura.

Hayo ameongea alipofungua  mafunzo ya siku moja ya  Makarani waongozaji watakao simamia uchaguzi mdogo wa udiwani  Kata ya Mtyangimbole na kuwa apisha kiapo cha kutunza Siri katika zoezi la uchaguzi.

Mkurugenzi amesema mafunzo hayo yanalenga kutoa maelekezo ya namna ambavyo karani mwongozaji  anavyotakiwa kutekeleza majukumu yake katika kituo cha uchaguzi .

Hata hivyo amesema Makarani hao wamepewa kazi hiyo kwa kuzingatia weledi na uaminifu walionao kwa wananchi watakao jitokeza kupiga kura.

“Sitegemei miongoni mwenu kwenda kinyume na maelekezo yatakayotolewa na wasimamizi wa uchaguzi mzingatie kwamba mmekula kiapo cha kutunza siri na tamko la kujitoa uanachama”.

Mohamed ametoa rai kwa Makarani hao kuwa makini na wasikivu na waelevu katika kuhakikisha wanaelewa maelekezo wanayopewa  na wasimamizi wa uchaguzi.

Kwa upande wake Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zakia Mohamed Abubakari alipoongea na Makarani hao  amesema katika zoezi hilo la uchaguzi wawe waadilifu watakapo kuwa eneo  la Uchaguzi pamoja na kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 15,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa