• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAHANJE SACCOS wapitisha bajeti ya shilingi Milioni 156 Madaba

Posted on: October 13th, 2023

MAHANJE SACCOS wamefanya Mkutano mkuu na kupitisha bajeti ya mwaka wa Fedha 2023/2024 ya shilingi Milioni 156 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akizungumza katika mkutano huo Meneja wa Mahanje SACCOS Kassim Masengo amesema mwaka 2022 walikuwa na bajeti  ya mapato na matumizi shilingi Milioni 120 walifanikiwa kutumia shilingi  Milioni 105.

“Leo tulikuwa na mkutano mkuu wa wanachama hiyo ni kutimiza sheria ya ushirika juu ya kufanya mkutano wa mwaka”.

Hata hivyo Masengo amesema katika mkutano huo wamefanya uchaguzi wa mjumbe mwakilishi wa mkutano mkuu   uchaguzi wa wajumbe wa bodi,kamati ya usimamizi Kwa kipindi cha miaka mitatu.

Kwa upande wake Afisa ushirika  wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sadam fupi akiwakilisha Ofisi ya Mkurugenzi Madaba,Mrajisi Msaidizi Mkoa wa Ruvuma wa tume ya maendeleo ya ushirika  pamoja na mrajisi mkuu Dodoma katika kusimamia zoezi nzima la uchaguzi huo.

Afisa Ushirika ametoa rai kwa viongozi waliochaguliwa kuhakikisha wanakuwa waaminifu ikiwa wanancha wamewachagua kwa kuwaamini.

“wananchama wamewaamini hakikisheni mnaendelea kuwa waaminifu muwe wafuatiliaji, nina amini tutashirikiana  kama tulivyoshirikiana kwa mda wa miaka mitatu iliyopita”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                                                                                               

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 13,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa