• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAHAFARI ya Kidato cha Nne Sekondari Lipupuma yafana

Posted on: October 6th, 2023

SHULE ya Sekondari Lipupuma Halmashauri ya Madaba wametatuliwa changamoto ya Matenki  Mawili ya kuhifadhia maji yenye thamani ya shilingi Milioni 2.

Akisoma taarifa Mkuu wa Shule hiyo Gofrid Nyingo katika Mahafari ya Kidato cha nne Mwaka 2023 na kuzitaja changamoto zinazokabiliwa na Shule hiyo.

Nyingo amesema changamoto hizo ikiwa ni pamoja na  uhaba wa maji wanafunzi wanahangaika kujitafutia maji kutokana na maji machache yanayopatikana eneo la Shule,ukosefu wa bweni la wavulana ambapo kwa sasa wanalala katika moja ya darasa,ukosefu wa bwalo la chakula  kipindi cha mvua wanafunzi kukosa eneo la kulia wanafunzi.

“Kwa kipindi cha mwaka  wa Fedha 2022/2023 tumekuwa na mafanikio kwa kupewa fedha ya mapato ya ndani  zaidi ya shilingi Milioni 8 kwaajili ya ujenzi wa matundu 8 ya vyoo vya wanafunzi wa kiume ambao hawakuwa na vyoo kabisa”.

Mgeni rasmi katika Mahafari hayo Mbunge wa Jimbo la Madaba  Joseph  Mhagama amewakilishwa na  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa ametatua changamoto ya ununuzi wa tenki 1 kwa kusaidiana na Wazazi kwa kunadisha keki.

Hata hivyo Mwenyekiti amesema Tenki moja litanunuliwa na wadau wa Shamba la Miti Wino TFS  Halmashauri ya Madaba.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 6,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa