• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAFUNZO kwa Makarani waogoza wapiga Kura Madaba yafungwa rasmi

Posted on: September 15th, 2023

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amefunga mafunzo ya Makarani yaliyofanyika kwa siku moja na amewaomba kuzingatia yote yaliyofundishwa.

Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa ofisi ya Mkurugenzi  Halmashauri ya Madaba amewapongeza wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo pamoja na Maafisa kutoka Tume ya Uchaguzi kwa ushirikiano ulioonyeshwa kwaajili ya kutoa mafunzo hayo kwa Makarani.

“Mkasimamie zoezi la uchaguzi kwa weledi kama mlivyofundishwa  pamoja na kuwa makini katika zozi hili la Kitaifa tutangulize Maslahi ya Taifa Mbele”.

Hata hivyo amesema Makarani hao watakapo kuwa katika eneo la kituo cha uchaguzi wazingatie kuwa nadhifu pamoja na kujiamini kupitia maarifa waliyo patiwa na  wasimamizi wasaidizi wa Jimbo.

“Najua asubuhi mmekula kiapo cha kujitoa uanachama na  kutunza Siri  tunaamini mtaenda kujiamini pamoja na kuwa na Lugha ya staha kwa wapiga kura”.

Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zakia Mohamed Abubakari mara baada ya mafunzo hayo kumalizika amewapongeza Makarani waongoza wapiga kura kwa mafunzo  usikivu na uelewa wa haraka.

Hivyo Kamishna amesisitiza kuwapa kipaumbele wenye mahitaji maalum na kutojisahau wanapokuwa katika kituo cha uchaguzi.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 15,2023

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa