• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAFANIKIO yaliyopatikana katika bajeti ya 2021/2022 Halmashauri ya Madaba

Posted on: February 7th, 2023

HALAMSHAURI ya Madaba imekuwa na mafanikio mbalimbali katika utekelezaji wa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022.

Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Idara ya Mipango Prosper Luambano katika Kikao cha Baraza la Madiwani cha kupitisha Bajeti ya 2023/2024.

Luambano amesema mafanikio hayo ya utekelezaji wa Bajeti 2021/2022 ni pamoja na uimalikiaji wa hali ya ulinzi na usalama katika vijiji 22 na kata 8 za Halmashauri,kuratibu na kuendesha vikao vyote vya kisheria ngazi ya Wilaya yakiwemo mabaraza 6 vikao vya kamati ya kudumu na vikao vya menejimenti ya Halmashauri.

Amesema mafanikio mengine wamepokea watumishi wa ajira mpya kwa idara ya utawala12,Elimu 8 na Afya 11 pamoja na watumishi 66 wamepandishwa vyeo na 37 wamebadilishwa muundo.

Luambano amesema kwa upande wa idara ya Afya kwa kipindi cha Julai  2021 hadi 2022  Halmashauri imefanikiwa kupokea zaidi ya shilingi billioi 2 kwaajili ya utekeleza wa shughuli mbalimbali katika sekta ya Afya.

Amesema Hospitali ya Wilaya ya Madaba milioni 800 imepokekelewa kwaajili ya ujenzi wa Hospitali pamoja na ujenzi wa kichomeo taka jengo la kufulia na ukamilishaji wa majengo ya awali,mionzi,jengo la stoo ya Dawa,jengo la maabara na jengo la wagonjwa wa nje OPD.

Hata hivyo amesema kiasi cha shilingi milioni 300 imetolewa kwaajili ya huduma ya dharula na shilingi milioni 90 kwaajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya pamoja na vituo vya afya milioni 500 zimetolewa kutokana na fedha ya tozo kwaajili ya kituo cha Afya Matetereka.

Pia amesema kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 122 imetolewa kwaajili ya utekelezaji wa mradi endelevu wa maji na usafi wa mazingira vijijini kwenye vituo vya  kutolea huduma za Afya 4 Mbangamawe,Mateteleka,Igawisenga na Kituo cha Afya Mtyangimbole.

Milioni 150 imepokelewa kwaajili ya ujenzi wa Zahanati 3 Mbangamawe,Magingo na Kipingo pamoja na ununuzi wa Dawa na Vitendanishi imepokelewa zaidi ya shilingi 181 na Halmashauri katika mwaka wa fedha 2021/2022 imefanikiwa kutoa huduma ya chanjo mkoba katika vituo 16 vya kutolea huduma ya Afya vijijini.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba

Februari 7,2023

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa