• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADIWANI Madaba walivyopewa Elimu ya Makuzi ya Mtoto

Posted on: January 31st, 2024

AFISA Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Ruvuma Mariam Juma ametoa Elimu ya mpango wa Taifa ya Malezi na makuzi ya awali ya Mtoto katika Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akizungumza katika Baraza hilo amesema mpango huo unasimamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii jinsia wanawake na makundi maalum na ilizinduliwa na Waziri Doroth Ngwajima Mwezi Disemba 2021 Dodoma kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesema Mpango huo unafanyika katika Mikoa yote 26  ukiwemo Mkoa wa Ruvuma ulianza kutekelezwa mwaka 2022 ikiwa ni mpango wa miaka 5 kuanzia 2021 /2026.

Juma ameeleza lengo la mpango huo ni kutoa huduma ya afya,Lishe, malezi yenye mwitikio,ujifunzaji wa awali kwa watoto wenye umri wa kuanzia miaka 0-8,kuimarisha ushirikiano kwa wadau katika sekta mbalimbali na kutoa huduma za mama.

“Ukuaji wa mtoto unaanza tangu anapokuwa tumboni hivyo wazazi na Serikali tunajukumu la kuhakikisha chanjo zote zinapatikana,malezi yenye mwitikio kuzungumza na mtoto anapokuwa tumboni,amani nyumba,Lishe bora,ujifunzaji wa awali”.

Hata hivyo amesema asilimia 90 ya mawanadamu inatengenezwa kuanzia miaka 0-8 na asilimia 10 inatengenezwa kuanzia miaka 8 na kuendelea .

“Hivyo ni kipindi muhimu cha kuwekeza kwa wazazi na wadau wengine kwa ujumla wake”.

Amesema kwa kipindi cha miaka 0-8 mtoto anatakiwa kupewa malezi bora hatakiwi kufanyiwa ukatiki kwa kupigwa,kusikia,na kuhisi.

Amesema katika kuzingatia vitu vya msingi katika malezi na makuzi ya mtoto kuna Lishe Bora,Kucheza,kupumzika,kupata maji safi na salama ya kunywa,Afya Bora ,ulinzi na Usalama,uchangamshi wa awali na vifaa vya michezo.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Januari 31,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa