• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA wazindua chanjo ya HPV

Posted on: April 22nd, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamezindua zoezi la utoaji wa chanjo ya HPV dhidi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa shule za msingi na Sekondari kuanzia miaka 9-14.

Zoezi hilo limezinduliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed aliyewakilishwa na Mkuu wa idara ya Maendeleo ya Jamii Philemoni Namwinga katika Shule ya Msingi Kifaguro.

Namwinga akizungumza katika zoezi hilo amesema lengo la chanjo zote ni kujenga jamii yenye Afya, ikiwa kauri mbiu ni jamii iliyochanjwa ni jamii yenye afya.

Kwa upande wake Mwakikili kutoka OR-Tamisemi Dr. Manyanza Mponeja amesema mpango wa chanjo hiyo ni kuwakinga watoto ambao hawajaanza kufanya ngono wenye umri wa miaka 9-14 na ugonjwa huo unatokana na kutofanya  tohara kinga kwa wanaume.

“Naomba nitoe wito kwa wazi kuhakikisha watoto wa kiume wanafanyiwa tohara salama inasaidia kukinga maambukizi kwao hasa HIV na kuwa msafi”

Mponeje amesema zoezi hilo litafanyika kuanzia Aprili 22 hadi Aprili 26 kwa kuhakikisha wanafikia  asilimia 80 ya watoto waliochanjwa.

“Chanjo hii siyo mpya ikiwa mabadiliko inatolewa mara moja na kushusha umri ilikuwa inatolewa miaka 14 na kuendelea  kwa sasa inatolewa kuanzia miaka 9 na haina changamoto yoyote ilianza kuanzia mwaka 2014 ”.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Aprili 22,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa