• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA walivyojipanga uzinduzi wa Jukwaa Septemba 2023

Posted on: August 31st, 2023

Timu ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamezungumza na kikundi cha ufyatuaji wa tofari cha kwetu Madaba kuhusu uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake

Akizungumza Anita Makota amesema Jukwaa la Wanawake liliundwa kwaajili ya kushirikisha wataalamu mbalimbali .

Amesema lengo la uundwaji wa jukwa hilo, Wanawake walikuwa hawana sauti ya kuongea hivyo kupitia jukwaa hilo lilipelekea kupeana fursa mbalimbali za kibiashara na kutatua changamoto kwa pamoja.

“ Halmashauri ya Madaba Jukwaa liliundwa mwaka 2021 lakini lilikuwa halijaanza kufanya kazi tarehe 28 tunatarajia kuwa na ugeni mkubwa sana kwaajili ya Uzinduzi“.

Hata hivyo amesema Jukwaa hilo litazinduliwa rasmi tarehe 28 Septemba 2023 pamoja na  maonyesho ya  biashara Mbalimbali za wajasiriamali.

“Hakutakuwa na vikundi tu hata UWT wanashughuli zao zitaonyeshwa siku hiyo tujitokeze kwa wingi kila mmoja na biashara yake”.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 31,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa