• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA walivyofanya kikao cha Lishe cha robo ya kwanza 2023/2024

Posted on: December 8th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba  wamefanya kikao cha utekelezaji wa afua za Lishe robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 na robo ya kwanza ya Mwaka wa fedha 2023/2024.

Afisa Lishe wa Halmshauri hiyo Jovenart Ntelagi amesema zoezi la kupambana na lishe duni kwa watoto chini ya miaka mitano wamehakikisha Lishe bora inazingatiwa kwa makundi yote muhimu na kuepuka matatizo yanayotokana na lishe duni.

“Tumeendelea kutoa  unasihi wa lishe bora kwa akina mama wajawazito wanaonyonyesha na wazazi/walezi wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano”.

Ntelagi amesema jumla ya watoto 3060 wenye umri wa chini ya miaka mitano wamepimwa hali ya lishe kati ya watoto hao  69  sawa na asilimia 2.25 waligunduliwa kuwa na changamoto katika hali zao za lishe.

“Watoto 4 kati ya watoto 69 waligunduliwa kuwa na utapiamlo mkali,watoto 65 waligunduliwa kuwa na utapiamlo wa kadri”.

Amesema watoto waliogundulika kuwa na utapiamlo wa kadri walipewa unasihi wa uandaaji wa chakula na ulaji unaofaa na wale waliokutwa na utapiamlo mkali walipewa rufaa ya kwenda kutibiwa hospitali ya Mkoa .

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Disemba 8,2023.

   

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa