• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Madaba wajiwekea mikakati mitano ya utekelezaji wa mpango wa Lishe

Posted on: May 9th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Madaba kwa kusimamia vizuri swala la Lishe.

Hayo amesema katika Kikao cha Lishe cha robo ya tatu mwaka 2023/2024 huku wakiwa na maadhimio matano ya utekelezaji.

“Halmashauri ya Madaba hatuna tatizo ambalo litatufanya tukashuka katika swala la lishe, kiufupi tunafanya vizuri kwa sababu sisi wenyewe tunaushirikiano mzuri tunajitambua”.

Hata hivyo mwampamba amesema katika kikao hicho wameadhimia watoto wenye utapia mlo mkali watibiwe katika Hospitali ya wilaya na mazingira yaandaliwe ili matibabu yaweze kufanyika.

Amesema shule zote za Msingi na Sekondari wahakikishe wanapanda mbogamboga badala ya kupanda maua itasaidia watoto wanapata virutubisho vya Lishe pale watakapokuwa wanakula hivyo wajifunze kwa vitendo.

“Watendaji wa Kata waendelee kutekeleza sheria ndogo za kuhakikisha wazazi wanachanga chakula katika shule zao”.

Mwampamba amesema kila shule wahakikishe wanabadili mfumo badala yake  watumie mahindi na maharage lishe na kuendelea kutafuta virutubisho vya kuchanganya katika chakula pamoja  na kuchawishi wazazi walime mahindi na maharage Lishe.

“Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji tusiwe tunaweka mtindo mmoja wa kumwonyesha mwanakijiji kunywa uji tu tuchanganye chakula tuwe wabunifu kwa vyakula tofauti”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei 9,2024.      

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa