• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA kujenga stendi kupitia mradi wa TASAF

Posted on: August 27th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya Mkutano maalum wa baraza  la madaiwani wa kufunga hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30,2024.

Katika baraza hilo Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amesema katika mapendekezo yote yaliyotolewa  kuwa katika mwaka mpya wa fedha 2024/2025 wamejipanga kukusanya mapato ya ndani.

“Hatutaweza kulipa madeni kama hatuna makusanyo mazuri mimi na menejmenti yangu tumejipanga ipasavyo kuhakikisha kwamba baadhi ya maaeneo tunayafanyia kazi hasa katika kupata vyanzo vya mapato vya kudumu”.

Hata hivyo Mohamed amesema katika halmashauri hiyo wanatarajia kupata fedha kwaajili ya ujenzi wa stendi kupitia mradi wa TASAF ambapo itapelekea ukusanyaji wa mapato kwa Wingi.

“Tumesha andika andiko makao makuu na tunatarajia kujenga kwa kushirikiana na wananchi waliojenga vibanda na kuepukana na adha ya kutoka katika utegemezi”.

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mwaka wa fedha 2023/2024 ilikusanya zaidi ya bilioni moja sawa na asilimia 90 ya makisio ya bajeti.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                                                                          

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa