• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA ilivyojiwekea mikakati ya kuondoa sifuri Sekondari

Posted on: May 4th, 2021

HALMASHAURI ya Madaba  imedhamilia kuondoa sifuri Sekondari baada ya kuweka historia ya kufanya vizuri miaka mitatu mfurulizo.

Akizungumza katika balaza la Madiwani katika kikao cha robo mwaka Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha Pili mika mitatu mfurulizo.

Hayo amezungumza  katika Balaza la Madiwani  lililofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi na kuwakumbusha kamati ya Elimu kufanya tathimini kila mara na kutatua changamoto ili kutokomeza alama ya sifuri kwa kidato cha pili na cha nne.

Mgema akirejea kikao cha tathimini ya Elimu kilichopita  maagizo aliyoacha madaba kwa wataalam wa    kamati ya Fedha na Elimu inawapasa kufanya tathmini ya utekelezaji na mkakati wa kuendelea kushinda.

“Tufanye tathmini ya kiutekelezaji kwaajili ya kujiwekea mikakati matokeo ya kidato cha pili mwaka jana 2020 bado kunawatoto 18  ambao wamepata sifuri na kuna watoto 26 wamepata sifuri hao ndi wametufanya tushuke chini lakindi kidato cha sita wamefanya vizuri“.

Amesema  mkakati wa kuondoa sifuri kwa kidato cha pili na cha nne zipangiwe mkakati na ajenda zipelekwe kwenye kamati ya Elimu na Kamati ya Fedha na ziingizwe kwenye Balaza ili mikakati ya kuondoa sifuri ifanye kazi,bila kusingizia upungufu wa walimu.

Amesema moja wapo ya mikakati inayotakiwa kuwekwa ilikuondoa sifuri kufanya tathmini ya mahitaji ya miundombinu ya shule,madarasa,ofisi za walimu na samani za madarasa na ofisi za walimu kwa kuanzia.

Amesema mwaka huu kwa wale ambao hawajajiunga mwezi wa tatu tumefunga usajili taarifa tumezipeleka tamisemi ili waweze kutupatia fedha kulinga na idadi ya wanafunzi waliopo kwenye mfuko wa Elimu bila malipo na tukifunga usajili tunajua idadi ya wanafunzi walioopo ,vyumba vya madarasa vinalingana na wanafunzi waliopo, Na madawati viti na meza  vinalingana na idadi ya watoto hapo inatupasa kuweka mikakati ngazi ya Halmashauri .

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari Halmashauri ya Madaba

Mei 3,2021

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa