• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAAFISA Madaba wahamasisha unywaji wa Maziwa kwa wanafunzi

Posted on: September 20th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamehamasisha unywaji wa maziwa kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi darasa la pili katika shule ya msingi Magingo.

Uhamasishaji huo umefanyika na idara ya elimu msingi,ustawi wa jamii na kilimo,uvuvi na mifugo na kugawa maziwa kwa wanafunzi 188.

 Akizungumza katika  zoezi hilo Afisa Mifugo kata ya Mahanje Lucy Mwaituka ametoa elimu ya unywaji wa maziwa kwa wanafunzi hao na amesema faida ya maziwa katika mwili wa binadamu.

Mwaituka amesema maziwa katika afya ya mwanadamu yanaleta avitamini D,B12 na yanaimarisha meno kwa watoto,mifupa na misuli na kusaidia kuleta kinga ya mwili.

“Ukinywa maziwa mwili wako unakuwa na kinga kamili magonjwa yanapokuja kwenye mwili wako yanakuta mwili unakinga huwezi kupata magonjwa mara kwa mara mkirudi nyumbani muwaambie wazazi wawe wanawapa maziwa “.

Naye Afisa Lishe wa Halmashauri hiyo Joseph Peter amesema athali za kutokunywa maziwa kwa watoto ukiwemo ukosefu wa kalsiam na kuathiri ukuaji wa mifupa na meno na kuongeza hatari ya osteoporosi maishani.

Amesema unywaji wa maziwa hafifu hupunguza ukosefu wa protini ambayo kupelekea kuathiri misuli na na maendeleo ya tishu na upungufu wa vitamini D,B12 zinazosaidia katika mfumo wa kinga na afya ya neva.

“Ukosefu wa unywaji wa maziwa  unasababisha kuharibika kwa afya ya mifupa ,ujumuishi wa chakula na kupelekea kupunguza mchakato wa mmeng’enyo wa chakula”.

Kutoka kitengo cha mawasiliano 

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

Septemba 20,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa