• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Wanakikundi cha tuamke Yerusalem wapewa Elimu ya Ufugaji wa Nyuki

Posted on: May 1st, 2023

MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri Olaph Pili  ambaye ni Diwani wa Kata ya Lituta ametembelea kikundi cha  ufugaji wa Nyuki kinachoitwa Tuamke Yerusalem.

Katika ziara hiyo Makamu Mwenyekiti wa Halamashauri hiyo ameambatana na wataalamu wa ufugaji wa nyuki kutoka TFS Madaba.

Kikundi hicho kipo katika Kata ya Mkongotema   na kimesajiliwa kisheria  na kinajumla ya watu 19 wanawake 6 na wanaume 13.

Afisa Nyuki wa Halamshauri hiyo Dafroza Kiranda amesema wamefanikiwa kutoa elimu ya ufugaji nyuki utunzaji wa mazingira na jinsi ya kuweka nta kwenye miznga,kutundika mizinga katika matawi ya miti ili kupata makundi ya nyuki pamoja na kufanya ukaguzi na kutunza kumbukumbu za makundi ya nyuki.

 Kiranda amesema  ufugaji wa nyuki ni tamko lililopo katika ilani ya chama cha Mapinduzi (CCM ) ikiwa kiongozi wa wa chama ameambatana na wataalamu kutimiza azma ya Ilani ya chama.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halashauri ya Wilaya ya Madaba

Mei 31,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa