• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KIJIJI cha Lituta Madaba kinajumla ya wakazi 5,039

Posted on: September 18th, 2023

Kijiji cha Lituta kimeanza utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru kaya Maskini (TASAF) awamu ya tatu Mwaka 2015 utekelezaji wake ulifanyika Halmashauri ya Songea.

Akizungumza Mtendaji wa Kijiji cha Lituta Aisha Nyange  amesema kuanzia Mwaka 2020 hadi sasa kijiji cha Lituta kimeendelea kunufaika na shughuri za mpango wa TASAF  kwa namna mbalimbali.

Amesema Ikiwa ni pamoja na uhawilishaji wa fedha kama ruzuku kwa walengwa utekelezaji wa miradi ya ajira za mda ,utekelezaji wa Miradi ya Miundombinu na Mpango wa kujenga uwezo kwa ngazi mbalimbali zinazoshiriki katika utekelezaji wa Mpango.

Nyange amesema kaya 78 zilinufaika katika mpango mwaka 2015 hadi sasa kaya 66 zimebaki katika mpango kutokana na baadhi ya walengwa kupua kwa vifo.

Hata hivyo mtendaji amesema kijiji hicho cha Lituta ni moja kati ya vijiji vitatu vilivyopo katika Kata ya Lituta na vingine vinavyounda Kata ni Mtepa na kipingo.

“Kijiji cha Lituta kinajumla ya wananchi 5,039 wanaume 2426 na wanawake 2613 ambapo wenye uwezo wa kufanya kazi 1,192”.

Mtendaji amesema wananchi wa kijiji hicho wanajishughulisha na kilimo cha Mahindi ikiwa kama zao la chakula na maharage,tangawizi na Alizeti kama mazao makuu ya Biashara.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 18,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa