• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KATIBU Mkuu aagiza tovuti kuhuwisha

Posted on: February 8th, 2023

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt Laurian Ndumbaro ameziagiza Taasisi zote za Serikali,Wizara,Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanahuisha taarifa mara kwa mara kwenye tovuti za serikali ili ziendane na wakati.

Ametoa agizo hilo wakati anazungumza kwenye ufunguzi wa kikao kazi cha tatu cha Serikali Mtandao ambacho kinafanyika kwa siku tatu kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa AICC jijini Arusha.

Dkt Ndumbaro amesema tovuti nyingi zina taarifa za zamani na kusisitiza kuwa kuna baadhi ya tovuti zina teknolojia ya mwaka 2012 hivyo ameagiza wahusika wote kubadilisha tovuti hizo ili ziendane na teknolojia mpya.

Mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa kikao hicho alikuwa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Jenista Mhagama ambaye aliwakilishwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mheshimiwa Deogratias Ndejembi

Kikao hicho kinawashiriki zaidi ya 1200 kutoka mikoa yote nchini,Wizara,Taasisi za serikali na kutoka Zanzibar.

Kikao hicho ambacho kimeanza Februari 8 na kinatarajia kukamilika Februari 10 mwaka huu.

Mamlaka ya Serikali Mtandao mwaka huu inaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa hapa nchini mwaka 2012.

Ameandikwa na Albano Midelo wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa