• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KAMATI ya Siasa Ruvuma yaridhishwa na mradi wa Sekondari Lilondo Madaba

Posted on: October 7th, 2023

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Ruvuma inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Oddo Mwisho imekagua mradi wa ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Lilondo Kata ya Wino Halmashauri ya Madaba

Katika Shule hiyo yanajengwa madarasa 8,jengo la utawala maabara ya Fizikia na Baiolojia kwa zaidi ya shilingi Milioni 560 kupitia mradi wa SEQUIP.

Mwisho amezipongeza kamati za ujenzi kwa usimamizi mzuri wa  ujenzi wa Shule hiyo.

“Mimi nimeona Watendaji mnasimamia vizuri mradi huo na kamati zote hata matofari yanayotumika yapo imara  kwa kasi mliyonayo naamini mtamaliza kwa wakati”.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amemshukuru Rais Samia kwa kuleta fedha za ujenzi wa Miradi mbalimbali katika Halmashauri hiyo zaidi ya Bilioni 5.

“Kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024  tumeletewa  zaidi ya Bilioni 1 kwaajili ya ujenzi wa  shule hii, ukarabati wa Shule ya Msingi Wino na Ifinga  Mh.Mwenyekiti tunaomba utufikishie Shukrani zetu za dhati kwa   Rais Samia kwa kutulete maendeleo katika Halmashauri ya Madaba”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 7,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa