• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Ruvuma waridhishwa na mradi wa madarasa 10

Posted on: February 3rd, 2023

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Ruvuma wamekagua mradi wa vyumba 10 vya madarasa kwa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Madaba.

Akitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema Halmashauri ya Madaba kwa mwaka wa Fedha 2022/2023 ilipokea kiasi cha shilingi milioni 2000 kutoka Serikali Kuu kwaajili ya ujenzi wa madarasa 10 katika shule za Sekondari 7.

Amesema shule hizo ni pamoja na Nguluma,Gumbiro,Magingo,Madaba,Mahanje,Wino na Ifinga  madarasa hayo yameweza kutatua changamoto ya upungufu wa madarasa kwa wanafunzi waliojiunga na kidato cha kwanza 2023.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Nguluma Melksedeck Lwena amesoma taarifa ya ujenzi wa madarasa mawili katika shule hiyo amesema  imesajiliwa kwa namba s.1350 na ilianza rasmi Januari 2002 ikiwa shule ya wananchi kata ya Gumbiro kwa sasa inamilikiwa na Serikali na ipo kata ya Mtyangimbole.

Hata hivyo Lwena amesema Octoba 1 ,2022 shule hiyo ilipokea fedha kiasi cha shilingi milioni 40 kutoka ofisi ya Mkurugenzi  kwaajili ya ujenzi wa  vyumba viwili vya madarasa.

“Hadi kufikia Desemba 14,2022 ujenzi ulikamilika  kwa asilimia 100  na fedha zote zilizotolewa zilitumika”.

Amesesema manufaa ya mradi huo ikiwa ni pamoja na kupatikana vyumba bora vya madarasa na kuwezesha uandikishaji wa wanafunzi wote 208 waliopangwa kidato cha kwanza 2023.

Kupatikana kwa samani bora kwa wananfunzi wakati wa kujifunza,kupunguza msongamano wa wanafunzi pamoja na kuamsha ari ya wanafunzi wawapo shuleni.

Lwena ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuboresha mazingira ya utoaji na upatikanaji wa elimu Nchini.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Februari 2,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa