• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

JUKWAA la Wanawake litakavyosaidia kukuza Biashara za Wajasiriamali

Posted on: August 14th, 2023

AFISA Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya  Madaba Anitha Makota amezungumza na wanawake wa jasiriamali wadogo wadogo juu ya uundwaji wa jukwaa la wananwake.

Hayo amezungumza katika Kijiji cha Madaba Kata ya Mahanje amesema jukwaa la wanawake liliundwa kwa lengo la kuwawezesha wajasiriamali wadowadogo kwa  kuwapatia fursa ya kujipatia mitaji,masoko pamoja na ushirikiano na Wajasiriamali wengine kutoka sehemu mbalimbali.

“Jukwaa hilo lilianzishwa na Rais Samia akiwa Makamu wa Rais mwaka 20216 alizindua Mkoa wa Dar es Salam Mlimani city na kutoa maagizo ifikapo 2017 Mikoa,Halmashauri,Kata,Mitaa pamoja na vijiji Majukwaa yawe yameundwa”.

Afisa Maendeleo amesema jukwaa la wanawake ni chombo kikubwa kinachowapelekea  kukutana na wajasiriamali mbalimbali kutoka Mikoa mingine na Halmashauri tofauti kwa lengo la kujifunza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine.

Hata hivyo amesema jukwaa hilo liliundwa kwa kuwasaidia wanawake kupaza sauti zao mwanzo hawakuwa na sauti ya kuzungumza .

“Nimesikia hapa kuna mama lishe ifike mahali mamalishe ajipatie  vyombo vya kisasa hata ikifika wakati wajisikie vizuri kupata huduma katika genge lako”.

Makota amesema lengo lingine lilikuwa maswala ya kujipatia masoko kupitia biashara  ndogondogo pamoja na kujipatia elimu ili kuwasaidia wajasirimali kuuza biashara zao ndani na nje.

“Lengo letu ni kuwakutanisha pamoja na wajasiriamali wengine kutoka Wilaya hadi Mikoa mingine kwa kujifunza jinsi gani wao wamefanikiwa”.

Kutoka Kitengengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Julai 11,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa