• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI ya Madaba yapitisha bajeti ya zaidi ya shilingi Milioni 228 ya Mwaka wa Fedha 2024/2025

Posted on: February 12th, 2024

BARAZA Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Madaba limepitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 shilingi Milioni 228,114,000/=.

Akizungmza katika baraza hilo Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema kata zitakazopitiwa na mradi wa ujenzi wa Barabara ya kutoka Songea hadi lutukila watapewa fedha shilingi milioni 200 kwaajili ya kuchangia huduma za jamii.

Amesema Kata hizo ni Mtyangimbole,Ngumbiro na Mkongotema ikiwa fedha hizo zitatumika kwaajili ya ujenzi wa miradi katika kata hizo.

“Mheishimiwa Mwenyekiti tunaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Rais Samia ni mara chache tunaona miradi inajengwa kupitia hiyo tunapata faida kupata miradi mingine”.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa katika baraza hilo maalumu amesisitiza suala la umoja na upendo katika utendaji kazi ili kuhakikisha Miradi inayoletwa na Serikali inasimamiwa kwa usahihi.

“Tukipendana hakuta kuwa na kunyosheana vidole hata vitabu vya Mungu vyote vimeandikwa upendo”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Februari 12,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa