• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Songea alivyowapa Elimu ya Ujenzi wa Soko Wataalam Madaba na Kamati ya Ujenzi

Posted on: August 30th, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Neema Magembe amewapa Elimu ya Ujenzi wa Mradi wa Soko kupitia mradi wa TASAF kamati ya ujenzi  Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Magembe akizungumza na Kamati hiyo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed kwa kuwaruhusu wataalam pamoja na wanakamati ya ujenzi kwenda kujifunza Halmashauri ya Wilaya ya  Songea.

“ Kujifunza siyo lazima mtoke Madaba na muende Mwanza lakini ndani ya Mkoa wetu kuna Mengi ya kujifunza “.

Hata hivyo  Mkurugenzi wa Songea amewapongeza wataalam hao kwa kuona haja na  kwenda kujifunza katika Halamshauri ya Songea juu ya ujenzi wa Soko lililopo Peramiho “A”

“Nasisi tutakuja kujifunza Madaba mnajenga ile EMD pale Hospitali ya Wilaya,tunatarajia tutapokea fedha hivi karibuni tutakuja kujifunza namna ambavyo mmefanikiwa”.

Magembe ametoa rai kwa Kamati ya ujenzi katika Halmashauri hiyo kuhakikisha wanauliza maswali ili waweze kuelewa na  kwenda kutekeleza mradi huo kwa umakini na ubora zaidi pamoja na kushikamana katika utekelezaji wa mradi huo.

Amesema mradi unaoenda kujengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba ukawe wenye tija na viwango na unaoakisi thamani ya fedha zilizoletwa na Serikali.

“tunaiheshimisha Serikali yetu ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayetoa fedha hizo”.

 Fedha hizo ziwe na matokeo mazuri pamoja na Wabunge wetu Kwetu sisi tunaye Jenista Mhagama akipita na kuona soko hilo anatabasamu,Hivyo  hivyo Mbunge wa Madaba Joseph Mhagama mumuheshimishe anahangaika kuhakikisha Madaba mnapata miradi”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 29,2023. 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa