• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba awataka wakuu wa Shule kubadilishana uzoefu katika taaluma

Posted on: March 1st, 2024

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amewapongeza wakuu wa shule za Sekondari kwa kuongoza Kimkoa kwa matokeo ya kidato cha pili na kidato cha nne mwaka 2023.

Hayo amezungumza katika kikao cha tathimini  ya Elimu kilichojumuisha wakuu wa shule za sekondari na  kuweka mikakati ya pamoja ya mwaka 2024.

Hata hivyo Mkurugenzi amewataka  wakuu wa Shule  kutunza mazingira na kubadilishana uzoefu katika taaluma.

 “Tujitahidi sana kubadilishana uzoefu mjifunze kwa ambao wamefanya vizuri ikiwemo Sekondari ya wasichana Feo,St Monica na Mahanje Sekondari ili tuweze kufanya vizuri zaidi”.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya wasichana  ya Feo Jemaida Erenest amesema kinachopelekea shule hiyo kufanya vizuri mitihani ya kidato cha pili na kidato cha nne ni kuwajengea hofu ya Mungu wanafunzi kila mmoja na dini yake,kumaliza mada kwa wakati,kuwatia moyo walimu na wanafunzi,kutoa motisha kwa walimu pamoja na kufuatilia ratiba zote za walimu.

Naye  Mkamu Mkuu wa Shule ya St.Monica Florence Mhuwa amesema mbinu wanazotumia ilikufaulu vizuri wanawapa wanafunzi mitihani ya ndani na nje,kufanya tathimini,kuwasimamia na kutoa motisha kwa wanafunzi wanaofanya vizuri pamoja na ushindani wa Wanafunzi.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashaui ya Madaba

Machi,01,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa