• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba atoa rai kwa wananchi kujikinga na ugonjwa wa Mpox

Posted on: August 27th, 2024

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed ametoa rai kwa wananchi kujikinga na ugonjwa wa mpox ambao bado hauja ingia katika nchi ya Tanzania.

Akizungumza katika mkutano maalum wa  baraza la Madiwani cha kupitisha hesabu za mwisho za Serikali zinazoishia Juni 30,2024 kuwa ugonjwa wa mpox unadalili nyingi ambazo zinapelekea kuambukizwa ikiwemo kula au kugusa mizoga ya wanyama pori, tumbili,Nyani,Sokwe,kugusana na mtu mwenye ugonjwa,kugusa vitu vilivyotumiwa na mtu mwenye ugonjwa,kujamiiana na mtu mwenye ugonjwa,kugusa majimaji ya mtu mwenye ugonjwa.

“Kwa mujibu wa daktari na taarifa aliyotoa tujihadhari kinga ni bora kuliko tiba ugonywa huo unaambukizwa kwa njia nyingi kwa sasa umefika nchi ya Burundi na umetangazwa ni janga la Taifa”.

Dalili za ugonjwa wa mpox ni kupata upele,malengelenge au vidonda kwenye mwili hasa mikononi na miguuni,kifuani,usoni na sehemu za siri.

Aidha amesema jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo kuepuka kugusa majimaji ya mwili ya mtu mwenye mpox,kuepuka kukumbatiana na kubusiana,kushikana mikono na mtu mwenye mpox.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 27,2024.       

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa