• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba atoa motisha kwa walimu Msingi

Posted on: May 15th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed ametoamotisha  katika Shule  za Msingi kwa kufanya vizuri matokeo ya darasa la nne na darasa la saba mwaka 2023.

Mkuu wa Idara ya Elimu msingi Saada Chwaya akimwakilisha Mkurugenzi katika shule hizo 30 ikiwa shule za Serikali 29 na binafsi 1 ametoa kilo 10 za sukari na majani pakti 2 kwa kila shule yenye thamani ya shilingi 1,500,000/=kwaajili ya chai ya walimu wawapo shuleni.

“Naomba tuendelee kung’ara kuna shule zingine sikutegemea kupitia kufanya kwenu vizuri mmeona tumepata na madarasa mazuri karibia kila shule, matokeo yaendane na majengo yake mazuri tuliyopewa kwa moyo wa dhati kabisa niwapongeze sana”.

Hata hivyo amesema Halmashauri ya Madaba imekuwa ya kwanza Kimkoa na kitaifa kati ya Halmshauri 184 halmashauri 68 zimefikia kigezo cha kitaifa  cha asilimi 85 halmshauri ya madaba ni miongoni.

“Mmetuheshimisha viongozi wa Halmashauri tumeona tuwashike mkono mnapokuwa mnawasaidia vijana wetu sukari hii tunajua kila mwali atatumia bila kuangalia mwalimu mmoja mmoja”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei 14,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa