• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba amwagiwa sifa na Mwenge wa Uhuru 2022

Posted on: April 18th, 2022

MWENGE wa Uhuru katika Halmashauri ya Madaba umezindua Kikundi cha Maarifa Mtyangimbole kinachojishughulisha na Ujasiliamali.

Mwenyekiti wa Kikundi hicho Annamaria Komba akisoma taarifa kwa kiongozo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Sahil N. Geraruma amesema kikundi hicho cha wanawake kilianzishwa mwaka 2019 na kusajiliwa mwaka 2021 kwa hati na RVM/MADDC/20210810095919467 kikiwa na wanachama wanawake 10.

Mwenyekiti ameelezea lengo la kikundi hicho ikiwa nipamoja na kuleta umoja na Mshikamano pamoja na kuinuana Kiuchumi kupitia ujasiliamali mdogo mdogo kwa kutengeneza sabuni,batiki,vitafunwa na unga wa Lishe.

Amesema kikundi hicho kilianza shughuli za utengenezaji wa sabuni  za maji na vipande kwa mtaji wa shilingi elfu tisini kwa kununua malighafi  na vifungashio na kupata faida ya shilingi elfu sitini.

Komba amesema uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na faida iliyokuwa ikipatikana walihifadhi katika kibubu hadi kufikia Desemba 30, 2021 kikundi kilikuwa na zaidi ya shilingi milioni moja  na kutokana na faida hiyo kikundi kiliongeza uwigo wa biashara na kuomba mkopo Halmashauri.

Hata hivyo amesema Kikundi kilipata Mkopo wa Milioni kumi kutoka Halmashauri ya Madaba na kununua vifaa mblimbali ikiwemo mashine 2 za kusaga malighafi,pamoja na malighafi za kutengenezea biashara mbalimbali.

“Mkopo umetusaidia kupata mafanikio mblimbali ikiwemo kuongeza uzalishaji,kufungua account,kupata jiko la kisasa kwaajili ya kuoka vyakula na kuhakikisha mwanakikundi anainuka kiuchumi”.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mara baada ya taarifa hiyo amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwa kusimamia zoezi la Mikopo inayotolewa na Halmashauri kwa kuhakikisha wanakikundi wanarejesha kwa wakati.

Kiongozi huyo amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri na Manispaa  kuhakikisha mikopo yote inayotolewa  irejeshwa kwa wakati ili na vikundi vingine viweze kupata mikopo hiyo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Aprili 15,2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa