• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DCC Wilaya ya Songea yaridhia kuongeza eneo la uhifadhi Yelusalem na tunduma Madaba

Posted on: January 20th, 2024

KAMATI ya ushauri Wilaya ya Songea (DCC)  imeridhia ongezeko la maeneo Mapya ya Yerusalaem na Tunduma  kuwa sehemu ya shamba la Miti lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile akizungumza katika Kikao hicho amesema wananchi wanaoishi katika maeneo hayo wapewe fidia ili waweze kuhama katika eneo hilo na kuweza kuongeza maeneo mapya ya shamba la miti.

Afisa misitu wa Shamba hilo Mustafa Yange akisoma taarifa kwaniaba ya Muhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Wino Grory Fotunatus amesema kijiji cha Wino kilitoa ardhi hekta 2,038.955 kwaajiji cha upandaji wa miti.

Hata hivyo amesema walifanya mkutano wa Kijiji uliofanyika Oktoba 27,2012  kuwa wananchi wa eneo hilo walikubaliana na TFS Wino kuongezewa eneo la hekta 2000 kwa masharti kuwa eneo jipya litatolewa baada ya wakala wa Misitu kumaliza kupanda eneo la awali.

“Tunaomba Serikali kutufikilia na kutupatia eneo hususani upande wa tunduma Wino,kitongoji cha Yerusalem kilichopo Magingo Kata ya Mkongotema tubadilishe matumizi kwa lengo la kuongeza uhifadhi na kupunguza Majanga “.

Yange ametoa sababu ya kuhifadhi eneo hilo ili kuepuka  kuhatarisha ustawi wa uhifadhi ya misitu ya tarafa ya Ifinga na Mkongotema kuchoma Moto hovyo unaofanywa kila mwaka na kusababisha hasara  na kuunguza hekari  nyingi za Misitu ya TFS na Wananchi.

Amesema eneo linapitiwa na mto Lutukila na Lupahila unaopeleka maji bonde la Ziwa Nyasa ikiwa wakazi wa kitongoji hicho wanalima na kuchoma moto hadi kingo za mto pamoja na uwindaji haramu wa wanayama pori.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 19,2024.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa