• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Songea achangia mifuko 40 ya Saruji Sekondari Lilondo

Posted on: January 1st, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololeth Mgema amechangia mifuko 40 Saruji yenye thamani ya Shilingi 680,000/= katika shule ya Sekondari  Lilondo iliyopo kata ya Wino Halmashauri ya Madaba.

Akizungumza mara baada ya kukagua shule hiyo na kuendelea na zoezi la upandaji miti katika eneo la Shule hiyo amesema Kata ya Wino wameona umuhimu wa kuwa na Shule nyingine ambayo itasaidia kupunguza msongamamno wa wanafunzi katika Shule ya Wino.

 “Wanalilondo mmeona Shule ya Sekondari Wino haitoshi ndipo mkaanzisha Shule ya Sekondari ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwa raha nimekuja hapa kabla ya zoezi la upandaji wa miti nimeona juhudi zenu hongereni sana”.

Mgema ametoa wito kwa wananchi wote kuhakikisha wanawaandikisha watoto kuanzia miaka 4 darasa la awali mpaka darasa la kwanza ifikapo Januari 9,2023 wawepo darasani masomo.

“Darasa la awali na Darasa la kwanza Januari 9 wawepo darasani katika hilo serikali haitafanya mchezo kuchukua hatua”.

Hata hivyo amesema Rais wa Jamhuri za Muungano wa Tanzania amesema Elimu itatolewa bure kuanzia Darasa la awali hadi  kidato cha zaidi ya mzazi kuhakikisha wanapewa mahitaji yote muhimu.

Mkuu wa Wilaya amesisitiza kuhakikisha wazazi wanachangia chakula cha mwanafunzi awapo Shuleni  ili kuhakikisha wanajisomea vizuri na kustawi kiafya na kiakili.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba

Januari mosi,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa