• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile awataka Watendaji kutoa takwimu sahihi za Lishe

Posted on: October 26th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amewataka watendaji Kata na Vijiji kutoa takwimu sahihi kwa upande wa afua za Lishe .

Hayo amesema alipofunga Kikao cha tathimini ya utekeleza wa Mkataba wa Lishe   robo ya kwanza mwaka 2023/2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

“Muwahimize wale waliopo chini yenu wawaletee takwimu sahihi ,tukiwa na takwizmu zisizo sahihi kwa maswala ya Lishe mnaivuruga jamii”

Ndile amewaeleza watendaji kuwahimiza watoa huduma wa ngazi ya vijiji kutoa takwimu sahihi katika Kaya,Kijiji, Kata hadi Halmashauri.

Hata hivyo ametoa rai kwa watendaji hao kusimamia sheria ndogo kwa wazazi wanaosuasua utoaji wa chakula mashuleni ikiwa wanasababisha watoto wasifanye vizuri katika masomo yao.

“Ninyi watendaji kwa mamlaka mliyopewa muwahimize wazazi na kuwabana ambao hawatoi chakula shuleni”

Ndile amesema wahakikishe wanawatembelea watoa huduma ngazi ya vijiji na kuwatia moyo iliwaweze kufanya kazi ya usimamizi wa Lishe kwa bidii.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Oktoba 25,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa