• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile awapongeza wananchi wa Madaba kwa kutambua umuhimu wa kutunza Misitu

Posted on: January 8th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile amewapongeza wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kutambua umuhimu wa kutunza Misitu.

Ndile ameyasema hayo alipomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed katika zoezi la uzinduzi wa upandaji  Miti amesema mwaka 2024  wananchi wamekuwa waungwana kwa kuacha kuchoma moto hovyo katika misitu.

“Wananchi mme kuwa watu wema mmelinda msitu wa Serikali na mmekuwa waungwana mmejifunza mnabadilika mmetambua umuhimu wa misitu katika Wilaya yetu na miche 200,000 mmepewa bure na Serikali kupitia Ofisi ya uhifadhi Wino (TFS).

Amesema adui mkubwa wa misitu ni moto na TFS wamegundua teknolojia mpya ya kutambua mtu aliyeanzisha moto ili aweze kukamatwa nakupewa adhabu.

Hata hivyo amesema katika Nchi ya Tanzania uchumi unaoongoza ni wakijani wa upandaji miti na miti ya asili.

“Madaba tunabahati tunamisitu ya kupanda na asili nataka niwaambie Wilaya zote ambazo wamewekeza katika miti ya kupanda umaskini umekuwa historia kwa mfano  Mufindi”.

Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya  ya Madaba

Januari 7,2025.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa