• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile awaagiza Maafisa wa Kata na Vijiji Madaba kuhakikisha wanafunzi wanaripoti shuleni

Posted on: January 17th, 2024

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amefanya kikao kazi cha kujua hali ya Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Kikao hicho kimefanyika katika Shule ya Sekondari ya Joseph Mhagama kilichojumuisha wataalam ngazi ya Halmshauri Walimu wakuu,Maafisa Elimu Kata,Watendaji wa Vijiji na Kata.

Ndile akizungumza katika Kikao hicho amewaagiza Maafisa Elimu Kata, watendaji kata na vijiji kuhakikisha ifikapo Februari 3,2024 wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangiwa kuripo shuleni Mwaka huu 2024 wawe wameripoti kwa asilimia 99.

‘Mimi Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi,watendaji kata na vijiji,Maafisa Elimu Kata  tuhakikishe kila mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza,darasa la awali na darasa lakwanza  tuhakikishe wanaripoti labda kama  ameenda shule binafsi nimewaiteni hapa kuwapa maelekezo haya kwa msisitizo mkubwa”.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema kupitia maelekezo aliyotoa Mkuu wa Wilaya amemwakikishia kabla ya Mwezi Februari 2024 watakuwa wamefikia asilimia 100.

“Nikuhakikishie Mkuu wa Wilaya kabla ya Mwezi Februari tutakuwa tumefikia zaidi ya asilimia 100 kwa lengo la madarasa yaliyojengwa yaweze kupata wanafunzi ikiwa wanaoendelea kuripoti kila siku”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Januari 17,2024.

                                

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa