• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile asisitiza kilimo cha Ufuta Madaba

Posted on: January 18th, 2024

Kufuatia zao la ufuta kuzwa kilo shilingi 3,800/= Mkuu wa Wilya ya Songea Wilman Ndile amewasisitiza wananchi wa Halmashauri ya Madaba kulima zao hilo.

Hayo amesema baada ya kikao kazi cha Elimu kilichofanyika katika Shule ya Joseph Mhagama ikiwa mwaka 2023 Halmashauri ya Madaba wamekusanya ushuru kupitia zao la ufuta  zaidi ya shilling Milioni 10.

“Ni vizuri tukaweka mkazo kwenye zao la ufuta Halmashauri ya Namtumbo sehemu kubwa ya mapato yao yametokana na ufuta,tumbaku na mahindi na Halmashauri ya Kilwa Ruangwa,Nachingwea asilimia ya mapato yake yalitokana na ufuta”.

Hata hivyo amesema kama viongozi wajibu wetu ni kuwapa wananchi matumaini ikiwa Halmashauri ya Madaba zao hilo linastawi vizuri .

“Mkuu wa Idara ya Kilimo ahakikishe anatafuta mbegu kwaajili ya wananchi na mimi mkuu wa Wilaya nitajitaidi kutafuta mbegu “.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba                                            

Januari 17,2024.      

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa