• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DAWATI la jinsia Madaba waomba ushirikiano kwa wazazi

Posted on: June 28th, 2024

WAZAZI na walezi wameaswa kulea watoto katika maadili mazuri na kuwapangia mikakati ambayo itawawezesha kutimiza ndoto zao.

Hayo amezungumza afisa wa porisi dawati la jinsia Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Antony Mtokambali katika maadhimisho ya siku ya wajane yaliyofanyika Juni 27,2024.

Hata hivyo amesema katika jamii kumekuwa na ukatili wa kijinsia kwa watoto ambao unaweza kupelekea kutotimiza ndoto zao na kupunguza nguvu kazi ya  Taifa.

“kuna aina tatu za ukatili wa kimwili,kingono  na kisaikolojia kulingana na vitendo hivi vya ukatili toa taarifa ili tuweze kuwashughulikia watu wanaofanya ukatili  ,hatukatai watoto wanafanya makosa mbalimbali aadhibiwe kidogo ndiomana tunatoa elimu”.

Aidha Mtokambali amesema ukatili wa kingono unawe kuleta athali kwa watoto kama kuambukizwa magonjwa mbalimbali na kuasababisha kifo.

“Sisi na nyie wazazi tukiungana na kupata taarifa sahihi tunaweza kudhibiti vitendo vya ukatili sasahivi kuna wimbi kubwa sana watoto wadogo wanafanyiwa ukatili”.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Juni 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa