• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DAS Songea atoa rai kwa wananchi Madaba kufanya uwekezaji wa nyumba

Posted on: August 27th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba ametoa rai kwa waheshimiwa Madiwani na wataalam kuhakikisha miradi ya Maendeleo ambayo inaletwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasimamiwa na kukamilika kwa wakati.

Akitoa salamu katika mkutano maalum wa baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Madaba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameleta zaidi ya shilingi bilioni tatu kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ambayo imeanza kutoa huduma.

“Pamoja na kutujengea miundombinu na kuleta vifaa tiba mbalimbali ametuletea watumishi 150 wakiwa 74 ni watumishi wa afya “

Hata hivyo amewaomba wananchi wa halmashauri hiyo kujenga nyumba ambazo zitawasaidia watumishi hao kupanga ili waweze kupata mazingira mazuri ya kuishi.

“Tumeanza kujenga nyumba za watumishi lakini hatuwezi kujenga kwa watumishi wote rai yangu baada ya kuwekeza kwenye kilimo tu tuwekeze na kwenye ujenzi wa nyumba ardhi ni bei ya chini umeme upo lakini nyumba hazipo”.

Hata hivyo amelaani vikali baadhi ya mabaraza ya ardhi ya kata kutoa hukumu ya migogoro ya ardhi badala yake watoe suluhishi.

“Ukiangalia ni kinyume cha sheria kifungu cha 13 na 3 cha maboresho ya sheria ya mwaka 2021 kinakataa mabaraza ya ardhi ya kata kutoa hukumu Madiwani na wananchi wote wajue juu ya utatuzi wa mabaraza ya ardhi”.

Imeanadaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka akaitengo caha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa