• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DAS Songea atoa rai kutoa elimu ya mikopo ya asilimia 10

Posted on: November 21st, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela mwampamaba ametoa rai kwa awananchi kuwa  na subira katika suala la mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri.

Hayo amesema katika mkutano wa baraza la Madiwani la robo ya kwanza Julai Septemba 2024/2025 lililofanyika Novemba 20,2024.

“Mikopo yetu ya asilimia 10 iko wazi siyo mikopo ya siri wananchi naomba mjue kuwa haiwezekani mikopo hii ikatolewa kwa wakati mmoja kwa watu wote hata kama unavigezo vya kuweza kupata mikopo naomba muwe na subira”.

Hata hivyo amesema mikopo hiyo ya asilimia 10 itatolewa kwa awamu kwa kila kikundi na kunufaika na mikopo hiyo ya asilimia 10.

“Naomba sana ndugu zangu mnaohusika na kutoa elimu kuhusu mikopo hii tuwaelimishe wananchi kwamba itatolewa kwa uwazi na haichangishwi pesa ya aina yoyote tumeona baadhi ya amaeneo watu wanalalamika wanataka watu wote wapate kwa wakati mmoja uwezo huo serikali haina”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 20,2024.        

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa