• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DAS Songea atoa maagizo kwa watendaji kata na vijiji kuto ruhusu taasisi za kidini kutoa huduma bila kusajiliwa

Posted on: August 19th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwapamba amewaagiza watendaji Kata na vijiji kutokuruhusu taasisis yoyote ya  kidini kufanya shughuli  bila kusajiliwa na Wizara ya mambo ya ndani.

Mwampamba akitoa salam katika baraza la amadiwani la kufunga mwaka  katika halmashauri ya Wilaya ya Madaba amesema kuna baadhi ya taasisi hizo zipo kwaajili ya kuharibu uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ili  Nchi ya Tanzania ionekane inataswira mbaya.

Hata hivyo Mwapamba ameiagiza halmashauri hiyo kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato ya ndani na kudhibiti ongezeko la madeni mapya.

“Hatuwezi kuendesha Halmashauri bila makusanyo Nimepita katika kituo cha kukusanya mapato Likarangiro nimeona mapato yanapotea na mizigo ya mkaa inapitishwa,pia naomba tupunguze ongezeko la madeni mwakajana hamashauri ilikuwa na madeni mengi sana”.

Aidha Mwampamba amesema tangazo la Serikali za mitaa limesha tangazwa kuwa viongozi wote walio katika ngazi ya msingi za vijiji waweze kupata tangazo hili kwa maandishi.

“Tunajua itakapofika Oktoba 25,2024 inatakiwa ndugu zetu viongozi kutoka ngazi ya kijiji wanatakiwa kuondoka katika madaraka yao naomba wapate taarifa hii kwa maandishi ili wasifanye mambo tofauti na serilaki ”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa