• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DAS Songea aipongeza NMB kwa kuunga mkono jitihada za Rais Samia

Posted on: November 19th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba ameipongeza benki ya NMB  kwa kuunga mkono jitihada za Rais Samia katika kuendeleza maendeleo ya sekta za Afya na elimu.

Hayo amesema katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya na elimu katika halmashauri ya Wilaya ya Madaba  na benki ya NMB ambayo wametoa vitanda,magodoro,madawati vilivyogharimu kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 49.

“NMB ni benki ambayo inatupa sapoti sana sisi Watanzania kwa kurudisha  faida  kwa jamii inayopatikana, wamefanya hivyo ikiwa watu wa Madaba tunawaunga mkono”.

Hata hivyo Mwampamba amewakumbusha wananchi kwa kipindi hiki cha kuanadaa  mashamba wahakikishe wanalinda mazingira na kuepuka uchomaji wa moto holela.

“Tumepata hasara sana tukichoma moto tunaharibu guzo za umeme zinaungua na kusababisha umeme kukatika mara kwa mara ,mashamba ya miti kuungua ikiwa Serikali inatumia fedha nyingi kupanda miti”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 18,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa