• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

CMF Madaba wachangia damu na kutoa zawadi kwa wanawake Kituo cha Afya

Posted on: May 4th, 2024

WANAUME (CMF) wa Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (TAG) wanaadhimisha wiki lao kwa kufanya huduma mbalimbali za kiroho na Kimwili kote Nchini.

Wanaume kutoka Kanisa la TAG Madaba wametembelea kituo cha Afya Madaba wametoa zawadi mbalimbali kwa wanawake waliojifungua na wanaotarajia kujifungua katika kituo hicho na kuchangia damu.

Mtaalam wa Maabara katika kituo hicho Elvida Eliushu amewashukuru kwa zoezi walililolifanya la kutoa zawadi kwa wanawake waliojifungua na wanaotarajia kujifungua pamoja na kuchangia damu ambayo itawasaidia wagonjwa wengine.

“Sisi kama wahudumu wa Afya tumefurahia na mmetutia moyo sana Damu hiyo itawasaida wagonjwa,wajawazito,na hata wale ambao hawana ndugu”

Hata hivyo mtaalam huyo amesema kuna Madaktari bingwa watafanya huduma mabalimbali katika Hospitali ya Wilaya hivyo damu itahitajika sana zoezi hilo litaanza Mei 6 hadi 10 kuanzia saa mbili kamili asubuhi na kuendelea.

Naye Mchungaji Msaidizi Paulo motela katika zoezi walilofanya katika kituo hicho amewashukuru Madaktari  kwa kuwapa nafasi ya kuchangia damu na kutoa zawadi kwa wanawake pamoja na kuwafanyia maombi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei 4,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa